Monday, September 15, 2014
On 4:27 AM by Unknown No comments

Msanii wa zamani wa B’Hits, Mabeste amesema anatoza shilingi milioni nne kumwandikia wimbo msanii.
Msanii huyo ambaye ameandika wimbo mpya wa Jux, Sisikii, amesema anapouza wimbo aliondika yeye, msanii huwa na kazi ya kurudia kila alichokiimba yeye.
“Kazi ya msanii ni kukariri tu, huongezi chochote kwakuwa mimi nakuwa nimekamilisha kila kitu,” Mabeste ameiambia Bongo5. Rapper huyo amesema anatoza kiasi hicho kikubwa kwakuwa kama msanii ataweza kulipa kiasi hicho cha fedha basi atatumia nguvu nyingi zaidi kuupromote na pia hiyo ni bei kwa wasanii wakubwa na sio kwa wasanii wanaoanza.
“Ninapomuambia msanii anilipe milioni nne ni kwamba hiyo track nikimpa nakuwa nimempa moja kwa moja,” amesema Mabeste na kueleza kuwa hatahitaji fedha nyingine tena hata kama wimbo huo ukimpa mamilioni ya shilingi msanii.
Hata hivyo Mabeste amesema alilipwa shilingi milioni mbili kuandika wimbo wa Jux.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment