Rafiki wa karibu wa Justin Bieber ameiambia HollywoodLife.com kuwa Justin alimwambia Selena kuwa yuko tayari kutulia na kupata watoto.
Maelezo hayo yanapata nguvu zaidi kwa kuwa hivi karibuni Justin Bieber alionekana akitembelea duka moja la vidani zikiwemo pete.
No comments:
Post a Comment