Rappa Rick Ross na Meek Mill walitembelea mchora tattoo maarufu Unroyal Ink Tattoo Studio ili kuongeza wino kwenye sehemu tofauti kwenye miili yao.
Rick ross ameongeza tatto 7 usoni kama Logo ya timu ya kikapu ya Miami Heat na logo ya MMG huku Meek Mil akiweka Logo ya MMG kwenye kiganja cha mkono wake.
Rafiki Na Shabiki Wangu, Tuwe Pamoja Huku Ilikupata Stori Zote Kutoka Kwangu Instagram , Twitter Na Facebook
No comments:
Post a Comment