Wednesday, August 13, 2014
On 12:56 AM by Unknown No comments
Siku moja baada ya kufariki muigizaji maarufu wa Marekani Robin Williams kufariki, tasnia ya filamu ‘Hollywood’ imepata pigo jingine kubwa baada ya muigizaji wa kike Lauren Bacall kufariki akiwa na umri wa mika 89.
Muigizaji huyo ambaye aliigiza filamu zaidi ya 30 ikiwemo The Mirror Have Two Faces, How to Marry a Millionaire, To Have and Have Not amefariki jana (August 12) kutokana na ugonjwa wa kiarusi uliomsumbua kwa muda mrefu.

Lauren Bacall miaka ya 1940
Kupitia akaunti ya Twitter inayoendeshwa na mtoto wa Bacall imeandikwa tweet ya kuthibitisha kifo chake.
“With deep sorrow, yet with great gratitude for her amazing life, we confirm the passing of Lauren Bacall.”
Bacall amewahi kushinda tuzo ya Golden Global na kutajwa kuwania tuzo za Oscar. Mwaka 1999 alishika nafasi ya 20 katika orodha ya wasanii 25 wa kike (AFI’s 100 Years).
Muigizaji huyo ambaye aliigiza filamu zaidi ya 30 ikiwemo The Mirror Have Two Faces, How to Marry a Millionaire, To Have and Have Not amefariki jana (August 12) kutokana na ugonjwa wa kiarusi uliomsumbua kwa muda mrefu.

Lauren Bacall miaka ya 1940
Kupitia akaunti ya Twitter inayoendeshwa na mtoto wa Bacall imeandikwa tweet ya kuthibitisha kifo chake.
“With deep sorrow, yet with great gratitude for her amazing life, we confirm the passing of Lauren Bacall.”
Bacall amewahi kushinda tuzo ya Golden Global na kutajwa kuwania tuzo za Oscar. Mwaka 1999 alishika nafasi ya 20 katika orodha ya wasanii 25 wa kike (AFI’s 100 Years).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Diamond Platnumz ameingia Dar es salaam usiku wa July 10 mashabiki wengi wakiongozwa na mama yake,dada yake pamoja na mpenzi wake Wema S...
0 comments:
Post a Comment