Wednesday, September 3, 2014
On 12:19 AM by Unknown No comments

Habari ya kusikitisha kwa mashabiki wa shindano la Big Brother Africa, Jumba linalotumika kufanyia shindano hilo lililoko Johannesburg, Afrika Kusini limeteketea kwa moto September 2.
Kutokana na tukio hilo, M-Net na Endemol South Africa wameeleza kuwa wamelazimika kubadili ratiba ya shindano hilo msimu huu lililopewa jina la ‘Big Brother Hotshots’ na halitaanza Jumapili, September 7 kama ilivyotarajiwa hapo awali.
Chanzo cha moto huo hadi sasa hakijajulikana na makampuni hayo yameeleza kuwa uchunguzi wa kina utaanza mara moja.
Makampuni hayo yamepata changamoto kubwa kutokana na tatizo hilo kwa kuwa vifaa vinavyotumika kufanyia uzalishaji ni vya aghali na adimu sana hivyo wameeleza kuwa ni vigumu kupata vifaa mbadala hivi punde.
“Kila juhudi itafanywa kutafuta ufumbuzi wa tatizo haraka iwezekanavyo kuhakikisha kuwa reality show hii kubwa zaidi Afrika inaendelea.” Wameeleza katika tamko lao.
Hakuna mtu aliyejuruhiwa katika tukio hilo.

Haya ni maelezo waliyoweka kwenye website yao:
M-Net and Endemol SA advise that due to a devastating fire at the Big Brother house on 2 September 2014, Big Brother Hotshots will not launch this Sunday (7 September) as schedule. The cause of the fire at this stage is unknown and investigations will commence as soon as it is safe to do so.
At this stage M-Net and Endemol are urgently looking for an alternative Big Brother house in which to film the production, however as this production has highly technical infrastructure, camera and edit requirements an alternative is not immediately available. Every effort will be made to find a solution as quickly as possible to ensure that Africa’s biggest reality show will continue.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
0 comments:
Post a Comment