Friday, October 31, 2014
On 5:17 AM by Unknown No comments

Kanye West anadaiwa kuwa na mipango ya kuhamia (kimoja) jijini Paris, Ufaransa mwakani na mwanae North, hata kama mke wake Kim Kardashian akikataa kuhama nao.
Kim na Kanye wanadaiwa kuwa kwenye malumbano kwa muda mrefu kuhusiana na uamuzi huo.
Mtandao wa Radar online umeripoti kuwa kabla ya sherehe ya siku ya kuzaliwa ya Kim iliyofanyika, Tao Nightclub, Las Vegas wawili hao walijikuta wakilumbana kuhusiana na jambo hilo.
“Wakati wanajiandaa, Kanye alimuambia Kim kwa upole kuwa anapanga kuhamia Paris… na amepanga kufanya hivyo bila yeye (Kim). Ilikuwa kama ngumi nzito nyuma ya kichwa chake,” kilisema chanzo kimoja.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment