Saturday, June 28, 2014
On 9:41 AM by Unknown No comments
Tayari wamewashangaza mashabiki wao kwa kuonyesha video ya harusi yao iliyofungwa mwaka 2008 na kuzaliwa kwa mtoto wao Blue Ivy, sasa Beyonce na Jay Z wametoa mshtuko mwingine kwa mashabiki wao kwenye ziara yao ya muziki ya On The Run inayoendelea.
Bey na Jay Z waliwaonyesha mashabiki picha za mfululizo wa matukio yaliyomkumba mwanamuziki Justin Bieber hivi karibuni huku Beyonce akitoa kauli kwa mashabiki kuwa “Even the greatest can fall.”
Baadhi ya mashabiki walisema hiyo ni diss kubwa kwa Bieber ambaye amekumbwa na matukio ya kukamatwa mara kadhaa katika miezi ya hivi karibuni.
Mashabiki wengine walidai hiyo sio heshima kwa Justin Bieber huku wengine wakiandika kupitia mitandao ya kijamii kuwa hilo ni funzo kwake sio tusi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment