Thursday, July 31, 2014
On 10:28 PM by Unknown No comments
Moja kati ya mambo ambayo mtu wa anayafikiria kabla
hajanunua gari ni kiasi cha mafuta kinachotumiwa na gari hilo. Lakini
ukiwa na gari hili… unaweza usifikirie kabisa kuhusu mafuta huku
ukilitumia kama kawaida kwa zaidi ya miaka 100.
Wataalam wa masuala ya magari wameeleza kuwa endapo gari linalotumia
‘Thorium’ litaanza kufanya kazi litakuwa gari ambalo linaweza kutumika
kwa zaidi ya miaka 100 bila kuongezwa mafuta.
Kwa maana hiyo Thorium itakuwa na uwezo wa kudumu hata zaidi ya maisha ya mtumiaji wa gari hilo.
Kampuni ya Laser Power tayari imeshatengeneza idea ya kutumia Thorium
katika engine za magari ambapo wataitumia kitaalam kuchemsha maji na
kuwa chanzo cha nguvu ya kuendesha gari.
Hata hivyo, CEO wa Laser Power System, Dr. Charles Sevens aliiambia
Mashable kuwa engine za Thorium hazitaweza kuwa kwenye magari hivi
karibu kwa kuwa watengenezaji wa magari hawataki kuzinunua.
Cars are not our primary interest. The automakers don’t want to buy them.” Alisema Dr Charles Stevens.

Alisema makampuni mengi ya magari yanataka kutengeneza pesa zaidi kwa
kutumia engines za gas na kwamba itawachukua miongo kadhaa kukubali na
kuanza kutmia teknolojia ya Thorium.
Endapo gari hili litafanikiwa kuingia sokoni na kununuliwa na watu
wengi miaka ijayo, itakuwa hatari kwa biashara ya mafuta hasa kwa wale
wanaotegemea magari pekee kufanya mauzo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
0 comments:
Post a Comment