Wednesday, July 2, 2014
On 2:36 AM by Unknown No comments
Kiongozi wa kundi la wapiganaji wa kiislamu ISIS limewataka waislamu waelekee Iraq na Syria kusaidia kulijenga jimbo jipya la kiislamu.
Katika kanda ya sauti, Abu Bakr al-Baghdadi amewaomba waislamu wahamie katika 'jimbo la kiislamu' akieleza kwamba ni jukumu.Alitoa wito maalum kwa majaji, madaktari, wahandishi na watu walio na ujuzi wa kijeshi na uongozi.
Katika ujumbe wa awali wa kanda ya sauti, ISIS lilimtaja Abu Bakr al-Baghdadi kama khalifa, au kiongozi wa waislamu kote.
Ramadhan
Serikali kuu mjini Baghdad imeshindwa kudhibiti maeneo mengi kwa wanamgambo wa madhehebu ya kisunni, wakiongozwa na Isis katika mwezi uliopita.
Kundi hilo la wanamgambo wa kiislamu linasema jimbo lake litaenea kutoka Aleppo kaskazini mwa Syria hadi katika jimbo la Diyala mashariki mwa Iraq.
Kwa muda mrefu, wanajihadi wengi wametaka kuunda jimbo linaloongozwa kwa sheria za kiislamu.
"Kimbieni waislamu muje katika jimbo lenu. Hili ni jimbo lenu. Kimbieni muje kwa kuwa Syria sio ya raia wa Syria, na Iraq sio ya raia wa Iraq," al-Baghdadi alisema katika ujumbe kwenye kanda hiyo ya sauti siku ya Jumanne.
Aliwaomba pia wapiganaji kuongeza mapigano wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhan ulioanza siku ya Jumapili.
Sio mengi yanayojulikana kuhusu kiongozi huyo wa ISIS aliyepewa jina la utani, "shekhe asiyeonekana", ambaye tofauti na viongozi wa al-Qaeda kama vile Osama Bin Laden na Ayman al-Zawahiri, haonekani katika ujumbe wa kanda za video.
Katika ujumbe wake alitoa orodha ndefu ya nchi ambazo anasema waislamu wanakosewa - Kutoka Jamhuri ya Afrika ya kati hadi Myanmar (inayofahamika pia kama Burma).
"kwa jina la MwenyeziMungu, tutalipiza kisasi! Hata kama itatuchukuwa muda, lakini tutalipiza kisasi," alisema.
Picha ya pekee ya al-Baghdadi iliyotolewa na wizara ya ndani Iraq
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment