Sunday, July 6, 2014
On 10:25 AM by Unknown No comments
Kumesikika majibizano ya risasi katika Pwani ya Kenya jumamosi jioni katika eneo ambalo takribani watu 60 waliuawa mwezi uliopita,mamlaka imethibitisha.
Kitengo cha kushughulikia majanga kiliarifu kupitia mtandao wa twita kuwa kulitokea majibizano ya risasi katika kituo cha biashara jirani na mji wa Mpeketoni palipotokea mauaji.
Kitengo hicho kimesema mamlaka za ndani na polisi walionyesha ushirikiano wa haraka kudhibiti usalama katika eneo hilo na hakuna watu walioathiriwa na tukio hilo.
Nalo shirika la msalaba mwekundu la kenya limesema hakuna waathirika katika tukio hilo.
Tukio hilo limetokea katika eneo mashuhuri kufikiwa na watalii takribani kilo mita 15 kutoka Lamu.
Kitengo hicho kimesema mamlaka za ndani na polisi walionyesha ushirikiano wa haraka kudhibiti usalama katika eneo hilo na hakuna watu walioathiriwa na tukio hilo.
Nalo shirika la msalaba mwekundu la kenya limesema hakuna waathirika katika tukio hilo.
Tukio hilo limetokea katika eneo mashuhuri kufikiwa na watalii takribani kilo mita 15 kutoka Lamu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment