Tuesday, August 5, 2014
On 1:18 AM by Unknown No comments
Lil Kim ambaye amejifungua hivi karibuni, amechukua wimbo huo wa Beyonce aliokuwa amemshirikisha Nicki Minaj na kuufanyia version yake binafsi akiijibu verse ya Nicki Minaj.
Nicki Minaj alisikika kwenye Flawless Remix akijigamba kuwa yeye ndiye malkia wa rap, mstari ambao umejibiwa moja kwa moja na Lil Kim akidai kuwa malkia halisi amerudi.
“Am I tripping or did this ho just say my name? Queen of rap? F**k outta here. Queen's back, f**k outta here. Time to get this wack b***h up outta here.” Amerap Lil Kim.
Inawezekana verse ya Nicki Minaj ilimchoma sana Lil Kim na ndio sababu aliamua kujibu hivyo kwa kuwa Nicki anasema Beyonce alimwambia afanye verse yake kama yeye bila kubanwa na asiwe na huruma.
“She sent me a version that she wanted. She told me, 'I want you to be you. I don't want you to hold back.' I said, 'You sure?' She said, 'Yeah. I want you to be you and do you.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
0 comments:
Post a Comment