Wednesday, September 3, 2014
On 12:31 AM by Unknown No comments
Muimbaji wa Nigeria, Wizkid amezungumzia beef kati yake na Davido akigusia kiini cha tofauti yao iliyokuzwa zaidi na comments za mashabiki wao kwenye mitandao ya kijamii.
Wizkid amefunguka katika mahojiano aliyofanya na Olisa Abibua katika kipindi cha ‘The Truth’.
Ameeleza kuwa chanzo cha beef kati yao ni pale alipokuwa anatweet akitoka kwenye show Marekani lakini tweet hiyo ilichukuliwa tofauti na Davido aliyefikiria kuwa lilikuwa dongo kwake.
Hivi ndivyo alivyoeleza:
“Ile situation ilikuwa ya kuchekesha kwangu kwa sababu tulikuwa wote kwenye ndege moja. Nilirudi, nilikuwa natweet kweli kuhusu show yangu, nilikuwa naongea kuhusu show yangu. Nilikuwa na show New York kabla ya hapo, hiyo ilikuwa kama mwaka mmoja, miaka miwili iliyopita na ilikuwa mbaya. Vyombo vya muziki vilikuwa vibaya, eneo lilikuwa la ajabu…!
“Nilishuka uwanja wa ndege, nilikuwa naenda hotelini nilipofikia, nikapitia kwenye eneo la show, nikaona jina langu kwenye taa zinazongaa. Na nilikuwa ‘Wow’! Huyuni ni mimi!? “Nilishuka chini, nikapita picha, nikapost nikisema nafanya show sahihi, kwenye maeneo sahihi (I do Proper shows, proper venues). Watu wakaanza kuwaka na hisia zao.”
Nilipoona hivyo, ilikuwa kichekesho. Wote ulikuwa mchezo, sipati muda wala sina nguvu za kuomba. ‘show sahihi, eneo sahihi’ ndicho ninachofanya. Sasa kama unakasirika, kwa nini unakasirika? Haufanyi show sahihi kwenye maeneo sahihi? Nilikuwa siongei na wewe. Ninajisikia hivyo kama nafanya kitu kwa ajili yangu, nafurahia mafanikio yangu na unayachukia mafanikio yangu. Sijui cha kukwambia. Nikuchukulie kama rafiki ama adui? Sijui.”
Wizkid ameeleza kuwa kama alikuwa amesema vile bila kuwataja watu basi wasanii wote wa Nigeria wangechukizwa na kauli yake, na amehoji kwa nini ilikuwa msanii mmoja tu aliyekasirishwa na tweet hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
0 comments:
Post a Comment