Thursday, November 20, 2014
On 4:52 AM by Unknown No comments
Album mpya ya msanii wa Nigeria, Flavour iitwayo Thankful iliyotoka November 14, imeuza kopi milioni moja hadi sasa, kwa mujibu wa mitandao ya Nigeria.
Album hiyo ilitoka bila promo wala matangazo yoyote, kama alivyofanya Beyonce.
Kwa mujibu wa kampuni ya Obaino Music, inayohusika katika uuzaji wa album hiyo yenye nyimbo 21, hadi jana Jumatano walikuwa wameshauza kopi milioni 1 za kwanza. Kampuni hiyo imesema kwa jinsi msanii huyo anavyopendwa, album hiyo itauza kopi nyingi zaidi.
Album hiyo imewashirikisha wasanii mbalimbali wakiwemo M.I, Phyno, Wande Coal na Chidinma.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
0 comments:
Post a Comment