Tuesday, December 2, 2014
On 2:38 AM by Unknown No comments
Khloe Kardashian ameutupilia mbali ushauri aliopewa na ndugu zake waliotaka aachane na boyfriend wake French Montana kwa madai kuwa anamsaliti.
Kwa mujibu wa TMZ, Khloe hajali chochote kama mpenzi wake ana wanawake wengine au laa.
Mtandao huo umedai kuwa Khloe ameupuuzia ushauri wa familia yake, na amesema kuwa yeye anakula raha na hakuna kikubwa anachokitarajia hivyo waachane na ‘biashara yake’ ya uhusiano wake na French Montana.
TMZ iliripoti kuwa ndugu zake na Khloe walimuonya aachane na French kwa madai kuwa hivi Karibuni alipokuwa Dubai, alimtumia Kim Kardashian waliyekuwa pamoja kwenye safari hiyo, ili ionekane kuwa muda wote wakiwa huko alikuwa naye karibu huku wanafamilia wakidai kuwa ukweli ni kwamba French alikua na mwanamke mwingine.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment