Thursday, July 31, 2014
On 10:28 PM by Unknown No comments
Moja kati ya mambo ambayo mtu wa anayafikiria kabla
hajanunua gari ni kiasi cha mafuta kinachotumiwa na gari hilo. Lakini
ukiwa na gari hili… unaweza usifikirie kabisa kuhusu mafuta huku
ukilitumia kama kawaida kwa zaidi ya miaka 100.
Wataalam wa masuala ya magari wameeleza kuwa endapo gari linalotumia
‘Thorium’ litaanza kufanya kazi litakuwa gari ambalo linaweza kutumika
kwa zaidi ya miaka 100 bila kuongezwa mafuta.
Kwa maana hiyo Thorium itakuwa na uwezo wa kudumu hata zaidi ya maisha ya mtumiaji wa gari hilo.
Kampuni ya Laser Power tayari imeshatengeneza idea ya kutumia Thorium
katika engine za magari ambapo wataitumia kitaalam kuchemsha maji na
kuwa chanzo cha nguvu ya kuendesha gari.
Hata hivyo, CEO wa Laser Power System, Dr. Charles Sevens aliiambia
Mashable kuwa engine za Thorium hazitaweza kuwa kwenye magari hivi
karibu kwa kuwa watengenezaji wa magari hawataki kuzinunua.
Cars are not our primary interest. The automakers don’t want to buy them.” Alisema Dr Charles Stevens.

Alisema makampuni mengi ya magari yanataka kutengeneza pesa zaidi kwa
kutumia engines za gas na kwamba itawachukua miongo kadhaa kukubali na
kuanza kutmia teknolojia ya Thorium.
Endapo gari hili litafanikiwa kuingia sokoni na kununuliwa na watu
wengi miaka ijayo, itakuwa hatari kwa biashara ya mafuta hasa kwa wale
wanaotegemea magari pekee kufanya mauzo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment