Thursday, July 24, 2014
On 1:34 AM by Unknown No comments
Jeshi
la Polisi linawahoji watu nane wakiwemo Madaktari wa chuo cha kitabibu
cha IMTU kwa madai ya kutupa mabaki ya masalia ya binadamu katika msitu
mdogo uliopo eneo la Mpiji kata ya Mbweni wilayani Kinondoni Dar es
salaam.
Kamanda
wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova alisema
kulipatikana mifuko 85 iliyobeba mabaki ya masalia hayo ya binadamu.
‘Imeonekana mara ya mwisho viungo hivyo vilikua katika chuo cha
Udaktari cha IMTU kinachofundisha kwa vitendo pia, sasa tunachunguza na
wamekubali kuhojiwa, maswali yanayofata ni kwanini viungo hivyo vilikua
pale kwa wingi kiasi hicho? kwa nini vilikwenda kutupwa? ‘ – Kova
Kwenye
hii ishu pia hospitali ya taifa Muhimbili inachunguzwa ambapo mkuu wa
kitengo cha uhusiano kwenye hospitali hii ya taifa Aminiel Aligaesha
amesema >> ‘Sisi ni miongoni
mwa wanaochunguzwa kwa sababu ni hospitali mojawapo katika jiji la Dar,
mabaki yale hayakutoka hospitali ya taifa Muhimbili’
‘Kuharibika
kwa tanuru letu la kuchoma taka za kitabibu kama hizo hakuna uhusiano
na mabaki ya binadamu yaliyookotwa Tegeta, ni kweli tanuru liliharibika
February 2014 na mwezi April tukapata spea lakini tatizo jingine
likatokea na kipuri kingine kikaagizwa na mpaka sasa mafundi wanaendelea
kuitengeneza’ – Aminiel.
Kwa taarifa zaidi unaweza kumtazama hapa chini
la Polisi linawahoji watu nane wakiwemo Madaktari wa chuo cha kitabibu
cha IMTU kwa madai ya kutupa mabaki ya masalia ya binadamu katika msitu
mdogo uliopo eneo la Mpiji kata ya Mbweni wilayani Kinondoni Dar es
salaam.
Kamanda
wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova alisema
kulipatikana mifuko 85 iliyobeba mabaki ya masalia hayo ya binadamu.
‘Imeonekana mara ya mwisho viungo hivyo vilikua katika chuo cha
Udaktari cha IMTU kinachofundisha kwa vitendo pia, sasa tunachunguza na
wamekubali kuhojiwa, maswali yanayofata ni kwanini viungo hivyo vilikua
pale kwa wingi kiasi hicho? kwa nini vilikwenda kutupwa? ‘ – Kova

hii ishu pia hospitali ya taifa Muhimbili inachunguzwa ambapo mkuu wa
kitengo cha uhusiano kwenye hospitali hii ya taifa Aminiel Aligaesha
amesema >> ‘Sisi ni miongoni
mwa wanaochunguzwa kwa sababu ni hospitali mojawapo katika jiji la Dar,
mabaki yale hayakutoka hospitali ya taifa Muhimbili’
‘Kuharibika
kwa tanuru letu la kuchoma taka za kitabibu kama hizo hakuna uhusiano
na mabaki ya binadamu yaliyookotwa Tegeta, ni kweli tanuru liliharibika
February 2014 na mwezi April tukapata spea lakini tatizo jingine
likatokea na kipuri kingine kikaagizwa na mpaka sasa mafundi wanaendelea
kuitengeneza’ – Aminiel.
Kwa taarifa zaidi unaweza kumtazama hapa chini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment