Tuesday, July 29, 2014
On 2:40 AM by Unknown No comments

Kila mtu ana story yake ya uhusiano wake na mpenzi wake lakini hii story ya Chris Brown na Rihanna inachukua attention ya watu wengi kutokana na mambo yanayoendelea kati yao.
Kila muda ukipita inatokea tetesi kwamba Chris Brown ana mawasiliano ya siri na Rihanna lakini bado hakukuwa na ushahidi kuthibitisha hilo.
Kitu kipya hivi sasa kinachotafsiriwa kwamba bado Chris ana mawazo na kumbukumbu juu ya uhusiano wake na Rihanna ni kutokana na picha ya rafiki wa Rihanna. Melissa Ford ambaye ni rafiki wa karibu wa Rihanna ali post picha ya Chris na Rihanna na kuandika kuwa ni hao ndio couples anaowapenda.
Baada ya hapo Chris Brown ali like hiyo picha na kuonyesha kwamba amefurahia hiyo post. Kutokana na ukaribu wa Rihanna na Melissa sio rahisi kwa Melisa ku post picha hiyo kama mambo bado ni mabaya kati ya Riri na Chris. Kama kuna lolote linaendelea kati ya Chris Brown na Rihanna lazima Melissa Ford awe anajua kwasababu wapo karibu sana.

Wachambuzi wanasema kwamba kuna kitu kinaendelea chini kwa chini kati ya Chris Brown na Rihanna na hivi karibuni kinaweza kuwekwa wazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...

0 comments:
Post a Comment