Tuesday, August 12, 2014
On 5:23 AM by Unknown No comments

Joto la ushindani kati ya wasanii wa Tanzania linazidi kupanda huku mashabiki na vyombo vya habari wakidaiwa kuchochea kuni kwa namna moja au nyingine.
Diamond Platinumz ambaye ndiye msanii anaekabiriwa na ushindani mkubwa zaidi kwa sasa kwa kuwa yuko mstari wa mbele zaidi wa mafanikio katika muziki hapa nchini na kuvuka mipaka kuiwakilisha Tanzania, amewashauri wasanii wanaotaka kushindana nae kutojikita katika ushindani wa nyumbani.
Diamond alifunguka katika mahojiano aliyofanya na The Jump Off ya 100.5 Times Fm na Jabir Saleh kabla hajapokea tuzo ya AFRIMMA kama mwimbaji bora wa kiume Afrika Mashariki.
“Tutanue mawazo, tuache mawazo ya kushindana wenyewe kwa wenyewe Tanzania. Labda kuleta mabadiliko yataleta mabadiliko ya Chalinze, mababadiliko ya Dar es Salaam au wapi. ‘Tukakomeshana tukikutana kwenye show labda ya Mwembe Yanga,’ tuache hizo fikra.” Alisema Diamond.
“Kwa sababu sisi tunaweza tukafikiri hapa kuna pesa nyingi sana lakini hakuna pesa nyingi kama ukifirikia kule mbele. Kwa sababu mbele unaweza kupiga show mpaka dola 100,000 ambayo ni kama milioni 160 au 170. And that’s the only way we can make a lot of money.
“Nafikiria huu ni wakati wetu sisi, tufocus sasa na mbele kuliko kufocus hapa tunakuwa tunabishana sehemu ambayo ni padogo. Hapa tu kwenye chumba kimoja tunang’ang’ania humuhumu, huyu kashika mlango hatoki…wakati huku kuna sebule kuna nini…” Aliongeza.
Mkali huyo wa MdogoMdogo ameeleza kuwa wakati akiwa katika tuzo za BET alikuwa anaona jinsi ambavyo baadhi ya watu walivyotengeneza makundi na kuanza kumdiss bila sababu. Lakini yeye kwake hiyo huwa inampa nguvu zaidi ya kuwaza kuwa ni muda wa kuwakomesha kwa kutoa vitu vikali zaidi.
Msikilize hapa:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Diamond Platnumz ameingia Dar es salaam usiku wa July 10 mashabiki wengi wakiongozwa na mama yake,dada yake pamoja na mpenzi wake Wema S...
0 comments:
Post a Comment