Tuesday, August 26, 2014
On 1:34 AM by Unknown No comments
Msemaji wa Mariah Carey amezungumza kuhusu ndoa ya Mariah na mumewe Nick Cannon ikiwa ni siku chache tangu Nick aweke wazi kuwa walitengana miezi kadhaa iliyopita.
Akiongea na mtandao wa UsMagazine, msemaji huyo wa Mariah ameeleza kuwa hivi sasa mwimbaji huyo amejikita katika tour yake barani Asia na katika kuwaangalia watoto wake mapacha wenye umri wa miaka mitatu, Moroccan na Monroe.
“I don't comment on Mariah's personal life, but Mariah is focusing on her children and her tour.” Ameesema.
Mariah ambaye bado yuko kimya kuhusu suala hilo, anaendelea na tour yake barani Asia na amemaliza kupiga show Tokyo, Japan wikendi iliyopita na anaelekea Manila, Ufilipino ambapo atafanya show October, 28.
Inaaminika kuwa Nick na Mariah walitengana mara baada ya Nick kuweka wazi kupitia kituo cha radio mwezi Machi kuwa aliwahi kuwa na uhusiano na Kim Kardashian na wasichana wengine maarufu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment