Friday, October 31, 2014
On 6:06 AM by Unknown No comments

Wimbo mpya wa Young Killer Msodoki aliomshirikisha kaka yake kiumri na kimuziki Fareed Kubanda aka Fid Q na Belle 9, ‘13’ umetambulishwa rasmi leo (Oct. 31) kwenye vituo mbalimbali vya radio.
Habari njema kwa mashabiki wa Msodoki ambao wameupokea vizuri wimbo huo ni kuwa video ya ‘13’ iliyoongozwa na director Nisher pia imekamilika, na inatarajiwa kutoka soon. Lakini habari mbaya kuhusu video hiyo ni kuwa Belle 9 ambaye amesikika kwenye kiitikio cha wimbo huo hataonekana kabisa kwenye video.

Msodoki amekanusha maneno yaliyopo mtaani kuwa walishindwa kuelewana na Belle hadi kushindwa kutokea kwenye video hiyo.
“Hayo ni maneno sidhani kama ni kweli” amesema Young Killer kupitia Power Jams ya East Africa Radio, “kwasababu Belle ni mtu ambaye tuko nae na hii ngoma imefanyika kama wiki mbili nyuma, na baada ya kufanyika wiki mbili nyuma zikapita siku mbili tukafanya video. Kwahiyo ndani ya wiki mbili nyuma ukitoa siku mbili hizo tulikuwa nae Bongo records tumefanya ngoma, lakini ni time ambayo ilikosekana kutokana na yeye pia alikuwa katika kutambulisha wimbo wake wa Vitamin Music, so tour zake za media nadhani kidogo zilikuwa zimebanana”.
Msodoki ameongeza kuwa hadhani kama kutokuwepo kwa Belle 9 kama kutaiathiri kwa vyovyote video yake.
“Kitu ambacho naamini itatu affect kwa mawazo lakini tukiwa tunaitazama naamini watu wote tuta enjoy kutokana na sauti yake ipo na yeye pia tumem mention”.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
0 comments:
Post a Comment