Friday, October 31, 2014
On 5:59 AM by Unknown No comments

Baada ya picha inayomuonesha Wema Sepetu akibusiana na Aunt Ezekiel kwenye Lips kuleta hisia tofauti kutokana na kitendo hicho kutozoeleka kufanywa na watu wa jinsia moja,
Wema amesema “Yes I kissed her”, na kusema kuwa hufanya hivyo hata kwa watu wengine wa jinsia yake ambao yuko nao karibu.“It is not only her, I Kiss my daughter, I kiss my sister, I kiss just people who are close to me”.Amesema kupitia Power Jams ya EA Radio.
Mpenzi huyo wa Diamond ameendelea kujitetea kwa kitendo hicho kwa kusema kuwa ni jambo la kawaida kwa wasichana waliokaribu kubusiana kwenye lips na kuongeza kuwa hubusiana hata na mama yake na dada yake kwenye lips.
“Kissing on the lips kwa girls to girls is very very okay, it is not okay kwa men to girls or men to men, kwa girls to girls kama you guys are like really close and you are attached, because I kiss my mama, I Kiss my sister kwenye lips “.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
0 comments:
Post a Comment