Wednesday, February 4, 2015
On 1:59 AM by Unknown No comments

Binti huyo mwenye miaka 21 alikutwa bafuni kwenye ‘bathtub’ Jumamosi iliyopita akiwa amepoteza fahamu.
Kwa mujibu wa taarifa ya polisi, siku moja kabla ya tukio hilo Kristina alikuwa na rafiki yake ambaye aliwahi kutuhumiwa kujihusisha na dawa za kulevya.
Ripoti ya polisi inadai kwamba Maxwell Byron Lomas, ambaye alikuwa na Bobbi Brown siku aliyokutwa amepoteza fahamu bafuni kwenye ‘bath tub’, aliwahi kukamatwa mwezi mmoja uliopita kwa kusambaza dawa za kulevya na kuwekwa chini ya ulinzi January 14 na baadae kuachiwa kwa dhamana, kwa mujibu wa Fulton County Jail records.
Katika hatua nyingine, Bobbi Kristina amehamishiwa kwenye hospitali nyingine iitwayo Emory University Hospital iliyoko Atlanta, GA inayosifika kwa matibabu bora zaidi ya mishipa ya fahamu, TMZ imeripoti. Toka siku ya Jumamosi alikuwa katika hospitali ya North Fulton Hospital iliyoko karibu na nyumbani kwake huko Roswell, GA.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment