Monday, June 23, 2014
On 2:56 AM by Unknown in ENTERTAINMENT No comments
Mweusi G Nako hivi karibuni alitangaza kuanza kuwalipisha wasanii wanaotaka kumshirikisha kufanya chorus katika nyimbo zao. Kumbuka G-Nako anatajwa kuwa msanii anaefanya chorus nzuri zaidi za hip hop Tanzania na inadhihirika kwa kila wimbo anaopita.
fradohmusic.com imepiga story na G- Warawara kutaka kufahamu sababu zilizompelekea kuchukua uamuzi huo.
“Yaani sasa hivi muziki umekuwa ni kazi vilevile ni biashara. Kwa hiyo biashara ni mimi mwenyewe, yaani mimi mwenyewe ni biashara. Kwa hiyo nikifanya kazi na wewe ni kama nimechukua biashara yangu nimeileta kwako. Kwa hiyo tunauza bidhaa. Tukijumlisha pamoja tunakuwa tunauza bidhaa. Kwa hiyo tunapotaka kuuza bidhaa lazima faida ipatikane sehemu zote mbili. Hilo ndilo lengo kubwa.”
Akielezea mfumo wa bei aliojiwekea, G-Nako amesema bei yake haitofautiani sana kati ya msanii mkubwa na msanii mdogo, ni makubaliano ya kawaida tu anayofanya bila kujali.
Amesisitiza kuwa kigezo kikubwa kwake ni wimbo mzuri na kuhakikisha inatoka kazi nzuri siku zote kabla ya kupanga malipo.
“Pamoja na yote hayo lazima tutengeneze muziki mzuri. Kwa hiyo mimi kitu kikiwa kwenye feeling zangu mara nyingi huwa nakifanya nikiona kitu kinataka kuwa kizuri mara nyingi huwa nakifanya. Ni kama ambavyo kuwa nakuambia siku zote mnapokutana wasanii wawili wazuri lazima mtatengeneza kitu kizuri.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Justin Bieber amepata ajali ya gari akiwa katika gari lake la Cadillac Escalade wakati akiwakimbia mapaparazzi, Beverly Hills. Kwa mujibu w...

0 comments:
Post a Comment