Tuesday, June 24, 2014
Rapper Bow wow ambaye pia ni mtangazaji wa kipindi cha 106Park cha amebadili jina lake rasmi na sasa anataka aitwe jina lake halisi Shad Moss
Bow Wow ameandika kwenye video aliyoweka Instagram sababu za kubadili jina lake kuwa ni kuanza ukurasa mpya wa maisha na Bow Wow anao ni jina ambalo haliendani nae kwa hivi sasa.
“Baada ya BET awards sitatumia jina la Bow Wow tena. Nitatumia jina langu halisi Shad Moss. Tumefanya historia ndefu kama Bow Wo. Na sasa ni muda wa kuanza ukurasa mpya na challenge.”
Bow Wow anaona kama jina hilo ni la kitoto na sasa amekuwa anataka ajulikane kiofisi zaidi.
“Mimi ni baba, mfanyabiashara, mtangazaji wa TV, muigizaji na rapper. Ni muda wa Mr Moss kutake over.”
Mwaka 2001 alibadili jina kutoka Lil Bow Wow na kuitwa Bow Wow na sasa ni zamu ya Mr Moss
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...

0 comments:
Post a Comment