Wednesday, July 2, 2014
On 6:01 AM by Unknown No comments
Diamond Platinumz hivi anaendelea kupambana kuupeleka muziki wa Tanzania katika level ya kimataifa na hivi sasa amepanga kuchia video mbili kwa mpigo.
Bila shaka video hizo ni moja aliyofanya na Iyanya Uingereza ambayo amepanga iwe kwa ajili ya mashabiki wa ndani na nje ya nchi na nyingine ya asili ‘MdogoMdogo’ ya Tanzania ambayo mimi naamini pia itafika mbali.
Hata hivyo Diamond ana ombi kwako wewe shabiki wake na ameandika katika ukurasa wake wa Facebook, saidia katika hili tupate tarehe rasmi ya kuzipokea video mbili kwa mpigo.
“Nataka Kudondosha video Mbili kwa Mpigo… tafadhari niambie, lini niziachie…???
[ I wanna drop 2 videos at da same time... Now you tell me, when should I let them out...??]”
Diamond ameweka baadhi ya picha zinazokuwa kwenye video yake akiwa kazini kama muigizaji fulani.
“Nikikupa Nafasi moja tu ya Kunipa Jina katika Caracter hiyo we ungenipa jina Gani?….. [ If I was to give you a chance to give me a name from that character what would it be...?]”
Hata hivyo Diamond ana ombi kwako wewe shabiki wake na ameandika katika ukurasa wake wa Facebook, saidia katika hili tupate tarehe rasmi ya kuzipokea video mbili kwa mpigo.
“Nataka Kudondosha video Mbili kwa Mpigo… tafadhari niambie, lini niziachie…???
[ I wanna drop 2 videos at da same time... Now you tell me, when should I let them out...??]”
Diamond ameweka baadhi ya picha zinazokuwa kwenye video yake akiwa kazini kama muigizaji fulani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
0 comments:
Post a Comment