Wednesday, July 2, 2014
On 7:02 AM by Unknown No comments
DJ mkongwe ambaye siku zote amekuwa na projects mbalimbali za muziki, DJ Khaled ametangaza kuanzisha Headphones zake alizozipa jina la “We The Best Sound”.

DJ huyo ametangaza rasmi kuanzisha bidhaa hiyo ya headphones na kueleza kuwa ameamua kushirikiana na Heads Audio& Bang Olufsen kwa lengo la kutengeneza headphones bora zaidi kuwahi kutokea katika soko la muziki.
Swahiba wa DJ Khaled, Fat Joe ndiye msanii wa kwanza kuwa balozi wa hiari wa ‘We The Best Sound’.
Wengine waliompa sapoti ni French Montana na Flo rider.

DJ Khaled amefuata nyayo za wasanii ambao tayari wana bidhaa ya headphones sokoni kama Dr Dre (Beats by Dre), 50 Cent na Luda Cris pia. Biashara hii ndiyo iliyompa Dre Dremchongo uliomfanya kuwa billionaire wa kwanza mwana hip hop.
DJ huyo ametangaza rasmi kuanzisha bidhaa hiyo ya headphones na kueleza kuwa ameamua kushirikiana na Heads Audio& Bang Olufsen kwa lengo la kutengeneza headphones bora zaidi kuwahi kutokea katika soko la muziki.
Swahiba wa DJ Khaled, Fat Joe ndiye msanii wa kwanza kuwa balozi wa hiari wa ‘We The Best Sound’.
DJ Khaled amefuata nyayo za wasanii ambao tayari wana bidhaa ya headphones sokoni kama Dr Dre (Beats by Dre), 50 Cent na Luda Cris pia. Biashara hii ndiyo iliyompa Dre Dremchongo uliomfanya kuwa billionaire wa kwanza mwana hip hop.
Hivi ndivyo alivyaondika DJ Khaled Instagram na kuambatanisha na picha ya Headphones zake:
“Today I am proud to announce that I have partnered with Heads Audio & Bang Olufsen to create the best audio in the market place, We The Best Sound. We The Best Sound represents the very best in audio entertainment. Alongside the prestigious Bang Olufsen brand, We The Best Sound and Heads Audio will provide the listener with the highest quality sound in electronic audio entertainment and will continue to carry on the tradition in excellence set by Bang Olufsen. It will also provide the listener a chance to hear audio the way I hear it when creating my music. I take pride in crafting a sound based on time, care and most importantly the best quality sound on the planet. Embark on this journey in sound with me…you won’t be disappointed. We The Best Sound, the brand you can trust. H6 with Dj Khaled by B&O @wethebestmusic @wethebestsound @headsaudio @beoplay #GODISTHEGREATEST!”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment