Sunday, July 6, 2014
On 10:25 AM by Unknown No comments
Kumesikika majibizano ya risasi katika Pwani ya Kenya jumamosi jioni katika eneo ambalo takribani watu 60 waliuawa mwezi uliopita,mamlaka imethibitisha.
Kitengo cha kushughulikia majanga kiliarifu kupitia mtandao wa twita kuwa kulitokea majibizano ya risasi katika kituo cha biashara jirani na mji wa Mpeketoni palipotokea mauaji.
Kitengo hicho kimesema mamlaka za ndani na polisi walionyesha ushirikiano wa haraka kudhibiti usalama katika eneo hilo na hakuna watu walioathiriwa na tukio hilo.
Nalo shirika la msalaba mwekundu la kenya limesema hakuna waathirika katika tukio hilo.
Tukio hilo limetokea katika eneo mashuhuri kufikiwa na watalii takribani kilo mita 15 kutoka Lamu.
Kitengo hicho kimesema mamlaka za ndani na polisi walionyesha ushirikiano wa haraka kudhibiti usalama katika eneo hilo na hakuna watu walioathiriwa na tukio hilo.
Nalo shirika la msalaba mwekundu la kenya limesema hakuna waathirika katika tukio hilo.
Tukio hilo limetokea katika eneo mashuhuri kufikiwa na watalii takribani kilo mita 15 kutoka Lamu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
0 comments:
Post a Comment