Sunday, July 6, 2014
On 8:15 AM by Unknown No comments
Mashabiki Wa Argentina wameonekana kwenye mitaa ya Brazil na Argentina Wakishangilia baada ya taarifa za mchezaji wa Brazil Neymar kutangazwa Kukosa mechi zilizobaki za Kombe La Dunia Kutokana Na Kuvunjika Mfupa.


Bbc imeripoti taarifa za nyota wa wa soka kutoka Brazil Neymar kuto shiriki tena michuano ya kombe la unia baada ya kuvunjika mfupa unaoshika uti wa mgongo katika mechi ya Brazil dhidi ya Colombia ambayo Brazil walichinda kwa bao mbili.
Neymar aligongwa chini kidogo ya mgongo kwenye mechi yao na Colombia na kupelekwa moja kwa moja hospitalini nakufanyiwa matibabu.
Brazil pia imepata pigo lingine baada ya taarifa kuwa Thiago Silva hatashiriki kwenye mechi yao na Ujerumani baada ya kupewa kadi ya pili ya njano.
Brazil pia imepata pigo lingine baada ya taarifa kuwa Thiago Silva hatashiriki kwenye mechi yao na Ujerumani baada ya kupewa kadi ya pili ya njano.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
President Barack Obama commended the U.S. soccer team Wednesday for making the country proud in the World Cup tournament in Brazil.
0 comments:
Post a Comment