Thursday, July 3, 2014
Baada ya kuzushiwa kuwa ametofautiana na Rapper wa Kike Iggy Azalea, Rapper kutoka Young Money Nicki Minaj ameweka wazi kuwa hajawahikuwa na beef na msanii huyo na hana mpango a kuanzisha beef na Iggy ilikupata umaarufu zaidi.
Nicki Minaj alipokea tuzo ya Msanii Bora wa Hiphop Wa Kike kwenye tuzo za Bet na alishangilia kwa kucheza kama alivyocheza Iggy kwenye video yake ya Fancy kitendo kilicho tafsiriwa kwana Diss kwa Iggy kutoka kwa Minaj. Ukiacha kitendo hicho pia inasemekana Nicki aliwahi kukashifu kitendo cha Iggy kuandikiwa mistari na mtu asiyetaka kutajwa. Waandishi hawa huitwa GhostWriters
Nicki Minaj ametumia twitter kutoa maelezo kuwa amefuahishwa na mafanikio ya Iggy na anapenda kuona wasanii wakike wakifanya vizuri ata zaidi yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
0 comments:
Post a Comment