Friday, July 18, 2014
On 1:33 AM by Unknown No comments
Kama ulidhani mahusiano ya rapper Lil Wayne na msanii wa Rnb Christina Milian ni ya kibiashara zaidi basi kwa sasa imafahamika kuwa wawili hawa wako kwenye mahusiano ya kimapenzi na tayari wameanza kuonyesha watu baada ya kuonekana kwenye tuzo za ESPYS. Wayne alimshika mkono kwa nguvu Christina Milian wakati wanaingia pamoja kwenye tuzo hizo na hawakuona aibu kurekodiwa wakiwa wawili na camera za show hio.
Awali Christina Milian alikuwa na msanii The Dream na mahusiano yao yalizaa mtoto moja, hivi karibuni ameachana na mchumba wake Jas Prince. Hivi karibuni Lil Wayne alimdiss mchumba wa Christina ‘Jas Prince’ kwenye wimbo wake kwa kusema “I’ll take your Tina” (Short for Christina), and “She needs a king, f-ck a prince” (in reference to Jas Prince).
Jas Prince anasema ameumizwa na kitendo cha Lil Wayne kumtukana na kumchukua mpenzi wake kwani walikuwa marafiki na yeye ndiye alimtambulisha Drake kwa Lil Wayne na ndiye alimsaidia Christina kupata record lebel ya Young Money mwaka 2012.
Awali Christina Milian alikuwa na msanii The Dream na mahusiano yao yalizaa mtoto moja, hivi karibuni ameachana na mchumba wake Jas Prince. Hivi karibuni Lil Wayne alimdiss mchumba wa Christina ‘Jas Prince’ kwenye wimbo wake kwa kusema “I’ll take your Tina” (Short for Christina), and “She needs a king, f-ck a prince” (in reference to Jas Prince).
Jas Prince anasema ameumizwa na kitendo cha Lil Wayne kumtukana na kumchukua mpenzi wake kwani walikuwa marafiki na yeye ndiye alimtambulisha Drake kwa Lil Wayne na ndiye alimsaidia Christina kupata record lebel ya Young Money mwaka 2012.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment