Thursday, July 17, 2014
On 10:18 PM by Unknown No comments
Mwezi April ilisambaa stori juu ya mwanamuziki wa Hip Hop Andre Johnson kujikata sehemu zake za siri ambapo stori hiyo iliripotiwa na vyombo kadhaa duniani lakini mbali na kujikata sehemu hizo alijirusha kutoka juu ya jumba moja mjini Los Angeles.
Ukubwa wa stori hii umefanya wadau mbalimbali wa vyombo vya habari kutaka kufahamu sababu za yeye kuamua kufanya vitendo hivyo ambavyo pengine vinaashiria hata kuyagharimu maisha yake.
Johnson ametoa sababu zake na kubwa zaidi akisema kuwa yeye ana akili timamu hana matatizo ya akili ingawa aliwahi kutumia dawa za kulevya lakini alikuwa anajifahamu mahojiano hayo ameyafanya kupitia kituo cha televisheni cha E! kilichopo Marekani.
Sababu nyingine aliyoisema kwenye mahojiano hayo amesema kuwa yeye sio Mwandamu>>’Nilikata sehemu yangu ya siri kwa sababu hiyo ndiyo ilikuwa chanzo cha matatizo yangu’
‘Suluhu yangu kwa matatizo yangu ni kwamba nimeelewa kuwa kitendo cha ngono ni cha mwanadamu, mimi sio mwanadamu mini ni mungu vitendo vya ngono viliniingiza katika matatizo mengi.siko hapa duniani kama mwanadamu bali mungu ”
Madaktari walishindwa kuunganisha sehemu hizo za siri za Johnson na kwa sasa anaishi bila sehemu hizo za siri na kusema kuwa anafurahi yuko hai,hilo ndilo jambo muhimu zaidi kwake, hata bila ya uume wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment