Friday, August 8, 2014
On 5:55 AM by Unknown No comments
Damu ya Afrika aliyonayo Akon inamfanya kuifikiria Afrika mara kwa mara huku akifanya jitihada za kuisaidia kadri awezavyo. Mwimbaji huyo ameweka wazi kupitia Instagram kuwa mwezi September yeye na watu wake watakuwa nchini Kenya ili kuweka katika uhalisia mipango mingi waliyopanga na rais Uhuru Kenyatta baada ya kumtembelea katika ubalozi wa Kenya nchini Marekani.
“Visiting President Kenyatta of Kenya. He has great visions for Kenya and we shall be there in September to discuss how to make those vision come to life. 1” Ameandika Akon katika post ya picha akiwa na rais Kenyatta.
Akon anaendelea na kampeni yake ya kuisaidia Afrika inayotumia slogan ya ‘Akon Lighting Africa’
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
0 comments:
Post a Comment