Tuesday, August 5, 2014
On 1:39 AM by Unknown No comments
Hivi karibuni, G-Lover alitoa mtazamo wake kuhusu tofauti iliyopo kati yao huku akimpa credit kila mmoja.
Akiongea na Fadhili Haule katika Sunrise ya 100.5 Times Fm, Nay wa Mitego yeye ameeleza jinsi asivyopenda kabisa malumbano yanayoendelea kudai kuwa angekuwa na uwezo angetembeza kipigo heavy.
“Ningekuwa na uwezo wa kuwapiga wote ambao yaani wanaendelea huu mchezo uliopo, nafikiri ningewapiga na ningewafunga ningekuwa na amri hiyo.” Nay wa Mitego ameiambia Sunrise.
“Coz unajua kuna watu wanatengeneza hivi vitu, wanataka kuwatia watu stress. Wanataka watu ifike time waje wauane. Kuna beef tunaona zinakuwaga beef tu za kawaida. Lakini huu mchezo wa Ali Kiba na Diamond ni Mchezo ambao naona kama watu wanaoufanya uwe serious sana. Mimi sipendi nachukia.” Ameongeza rapper huyo wa ‘Itafahamika’.
Amewashauri Ali Kiba na Diamond kuachana kabisa na kinachoendelezwa kati yao na kuendelea na muziki kwa kuwa itafikia hatua mbaya ambayo wataumizana na kushindwa kufanya muzik
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
0 comments:
Post a Comment