Wednesday, August 20, 2014
On 12:24 AM by Unknown No comments
G-Unit wameungana na wasanii wengine kupaza sauti yao kwa kufanya wimbo kuonesha jinsi wanavyopinga mauaji ya kijana mweusi Michael Brown aliyekuwa na umri wa miaka 18, aliyeuawa kwa risasi kadhaa na afisa wa polisi ‘mzungu’ huko St. Louis, Missouri, August 9.
Kundi hilo limeachia wimbo unaoitwa ‘Aaah Sh*t’ ambao unalenga katika kuwaponda polisi wote waliowahi kufanya mauji ya raia walioonesha ishara ya kutii sheria kwa kunyoosha mikono miwili juu.
“Now why the f**k did you call them cops? / Throw your hands up, you still gettin’ shot / Here they come now, they out on patrol / They done killed a few, they finna kill some more.” Ni sehemu ya mashairi ya wimbo huo.
Wasanii wengi wa Marekani hasa weusi wamelaani vikali kitendo hicho cha kikatili na cha kibaguzi na wanadai hakuna taarifa zilizowahi kudai polisi mweusi amempiga risasi kijana wa kizungu. Ila ripoti za polisi wazungu kuwauwa vijana weusi zipo nyingi.
Ripoti ya uchunguzi binafsi iliyotolewa kwa vyombo vya habari na wakili wa familia ya Michael Brown, Madaktari na wawakilishi wa familia, inaonesha kuwa Michael Brown alipigwa risasi juu kidogo ya paji la uso ambayo ilijeruhi pia jicho lake.
Ripoti hiyo inaonesha kuwa risasi nyingine ikimpata katika eneo la mkono ambalo kwa mujibu wa timu ya madaktari eneo hilo linaonesha wazi kuwa marehemu alikuwa amenyoosha mikono yote juu kuashiria kutii amri. Mwili wa kijana huyo umeonesha kuwa alipigwa risasi nyingi katika maeneo mbalimbali.
Makundi mbalimbali ya waandamanaji nchini Marekani yanayotumia kauli mbiu ya ‘Hands Up Don’t Shoot’ yameingia mitaani kwa amani huku wengine wakifanya uharibifu na kulazimu polisi kuwatawanya.
Cover la wimbo wa G-Unit wenye michoro ya ripoti ya jinsi Michael Brown alivyopigwa risasi
Usikilize hapa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment