Thursday, August 28, 2014
On 2:50 AM by Unknown No comments
Kanye West ambaye mwaka jana alikuwa na ugomvi mkubwa na wapiga picha (Paparazzi) na kufikia hatua ya kumshambulia Paparazzi Daniel Ramos katika uwanja wa ndege Los Angeles amefichua kuwa baba yake mzazi aliwahi kuwa paparazzi pia.
Kwa mujibu wa MailOnline ambao wamepata nakala ya discussion ya maridhiano kati ya Kanye West na mwanasheria wa paparazzi Ramos aitwae Nate Goldberg, rapper huyo alitoa siri hiyo wakati wa maongezi.
Kanye alieleza kuwa wazazi wake hawakumlea kuja kupigana mieleka hadharani na wapiga picha.
“My father was a paparazzo himself. My father was a medical illustrator, a Black Panther, a Christian marriage counsellor. My mother was the first black chair of the English department in Chicago State. They didn't raise me to be out here wrestling with random paparazzi in front of LAX."
Rapper huyo alisikika akieleza kuwa mara nyingi amekuwa akipata msaada kutoka kwa Paparazzi ambao wamekuwa wakimsaidia kuegesha gari lake, kulilinda wakati hayupo na hata kuhakikisha hasumbuliwi na polisi baada ya kuegesha gari lake.
“Kuna watu wema huko nje wanaojaribu kuzilisha familia zao (kupitia upigaji picha) na pia kuna wapumbavu kama huyu jamaa unaemuwakilisha.” Kanye West alimwambia mwanasheria huyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment