Thursday, August 7, 2014
On 4:53 AM by Unknown No comments
Wakati Michael Jackson akiwa amelala kwenye nyumba yake ya milele, bado familia yake imeendelea kuandamwa na tuhuma nzito zinazomhusu mfalme huyo wa Pop duniani.
Mlalamikaji, James Safechuck mwenye umri wa miaka 36 hivi sasa ambaye alikuwa katika kesi ya Michael Jackson ya mwaka 2005 kuhusu ulawiti, ameibuka tena na kufungua kesi na kutoa ushahidi mpya wa jinsi alivyokuwa akilawitiwa na marehemu mwaka 1988 wakati akiwa mtoto mwenye umri wa miaka 10 tu.
Michael Safechuk na Michael Jackson wakiwa London, 1988
James ambaye sasa ni baba wa familia hakuonesha ushirikiano wakati wa kesi ya mwaka 2005 licha ya kutajwa kama sehemu ya ushahidi.
TMZ wameeleza kuwa wamepata nyaraka zilizowasilishwa na Safechuck mahakamani ambazo zinaeleza kuwa Michael Jackson alimfundisha lugha ya ishara wakati akiwa na umri wa miaka kumi, lugha ambayo alikuwa akiitumia kutaka kumueleza kuwa anataka kufanya nae mapenzi.
Ameeleza kuwa moja kati ya ishara hizo ni pale walipokuwa wakishikana mikono kusalimiana, alikuwa anambinya au kumtekenya katikati ya kiganja.
Katika nyaraka hizo ameendelea kueleza kuwa MJ alikuwa anamchukua na kumpeleka kwenye majumba ikiwa ni pamoja na sehemu inayoitwa ‘The Hideout’ ambapo walikuwa wakinywa vinywaji laini, pink wine na kuangalia video za ngono.
Amesema marehemu aliendelea kumfanyia vitendo hivyo hadi pale alipoanza kubalehe.
Hata hivyo, mwanasheria wa Michael Jackson, Howard Weitzman ameiambia TMZ kuwa kesi hiyo inatakiwa kutupiliwa mbali kwa kuwa imeletwa kwa mara ya kwanza miaka 20 baada ya tukio hilo analolieza na kwamba James Safechuck aliwahi kula kiapo na kueleza kuwa Michael Jackson hakumfanyia kitu chochote kibaya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment