Wednesday, August 27, 2014
On 3:48 AM by Unknown No comments
Kijana aliyekuwa akiishi mitaani, Jesee Helt aliyepanda katika jukwaa la MTV VMAs na Miley Cyrus na kumpokelea tuzo ya video bora ya mwaka anatafutwa na polisi wa Oregon.
Kwa mujibu wa ripoti za mahakama, kijana huyo aliwahi kukamatwa na kufungwa jela siku 30 baada ya kukutwa na hatia ya makosa mbalimbali likiwemo kosa la kuingia kwenye nyumba ya bwana mmoja bila kibali mwaka 2010.
Pamoja na kifungo hicho, kijana huyo ambaye wakati huo alikuwa na umri wa miaka 18 aliwekwa chini ya kipindi cha matazamio (probation) lakini alivunja masharti baada ya kutoka.
Mahakama ilitoa kibali cha kumkamata tangu mwaka 2011 lakini hawajafanikiwa. Kijana huyo alihamia Los Angeles na kuishi mitaani huku akijaribu kutafuta kazi ya kuwa mwanamitindo.
Miley Cyrus alikutana na kijana huyo katika kituo cha vijana wadogo wanaoishi katika mazingira magumu cha ‘Hollywood homeless Center My Friend’s Place’.
Kijana huyo alipanda jukwaani kupokea tuzo ya Video bora ya mwaka hiyo akiwa na Miley Cyrus (Kumuwakilisha) na alitoa hotuba iliyowagusa wengi kuhusu kuwaangalia vijana wanaoishi katika mazingira magumu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment