Tuesday, August 5, 2014
On 6:24 AM by Unknown No comments
Kundi la Rockaz linaloundwa na wasanii Quick Rocka,Mo Rocka, Dau Rocka na Chief Rocka limeingia studio kwaajili ya kazi mpya. Fahamu hii ni mara ya kwanza kundi hili linafanya kazi pamoja toka mwaka 2011.
“Kundi lipo studio siku tatu mfululizo wakitengeneza nyimbo studio tofauti ambazo ni Fish Crb [Lamar], Am Records [Maneck] na Switch [Nah Reel] ,Lengo ni kujenga chemistry tena na kuwa na kazi nyingi iliwachague inatoka ipi, Pia kabla ya mwezi wa tisa wataweza kutoa Audio moja na video moja” Alisema Quick Rocka.
Kuhusu Mo Rocka kuwepo kwenye kundi na kwenye nyimbo Quick amesema mpaka sasa simu ya Mo Rocka haipatikani na wametumia nguvu kumtafuta bila mafanikio, wataendelea kurekodi mpaka akipatikana atafanya sehemu yake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
0 comments:
Post a Comment