Friday, August 29, 2014
On 12:08 AM by Unknown No comments
Nick Cannon ambaye alitangaza kuwa ametengana na mkewe Mariah Carey tangu miezi mitatu iliyopita amemtembelea mkwewe huyo kwa mara ya kwanza nyumbani kwake New York, Jumatano iliyoita.
Chanzo kiliimbia E!News kuwa Mariah ndiye aliyemuita na kumuomba ruhusa ya kuwatoa nje ya jiji hilo watoto wao mapacha wenye umri wa miaka mitatu, Moroccan na Monroe.
Imeelezwa kuwa baada ya kufika nyumbani hapo na kuzungumza, Nick Cannon alimkubalia na kumuomba radhi kwa kutangaza hatua yao ya kutengana bila kumshirikisha.
Chanzo hicho kimeeleza kuwa wawili hao walikubaliana kuwa tangazo la talaka kati yao litatolewa kwa umma na Mariah Carey mwenyewe na kwamba Nick anatakiwa kuwa kimya kuhusu suala la talaka yao.
Nick Cannon na Mariah Carey walifunga ndoa mwaka 2008 na ndoa yao ilidumu hadi walipotengana miezi mitatu iliyopita baada ya Nick kuwataja wasichana maarufu aliowahi kutoka nao kupitia kipindi cha radio na majina yaliyotajwa ni pamoja na Kim Kardashian.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment