Wednesday, August 20, 2014
On 12:46 AM by Unknown No comments
Rihanna na Drake wamerudi tena kwenye vichwa vya habari baada ya kuonekana wakiwa pamoja Griffin Night Club ya New York, Jumapili usiku.
Wasanii hao wamezua hisia kuwa huenda wamerudiana tena hasa baada ya kuingia katika club hiyo kwa wakati mmoja, wakawa karibu na wakaondoka wote majira ya saa kumi alfajiri.

Hata hivyo, Drake na Rihanna waliwahi kuonekana katika hotel moja hivi karibuni baada ya kufanya show na kuperform ‘Take Care’ huku Rihanna akioenesha uchokozi wa hali ya juu.


Habari hizi zinakuja ikiwa ni siku moja tu baada ya Chris Brown na Karrueche Tran kurusha uhusiano wao kama zamani.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment