Monday, August 25, 2014
On 1:56 AM by Unknown No comments
Akiongea na Bongo Dot Home ya 100.5 Times Fm, Tundaman ameeleza kuwa anajipanga kuachia wimbo wake mpya unaoitwa Itakula Kwako au Temana na Mimi uliotayarishwa na Mensen Selekta.
“Walikuwa wanabishana hapa…majina Tale anasema Itakula Kwako, Madee anasema Achana na Mimi, Bonge anasema achana na mimi. Kwa hiyo jina linaweza kuwa itakula kwako au achana na mimi.” Amesema Tundaman.
Akiuelezea wimbo huo, mwimbaji huyo amesema kuwa ni wimbo wenye ujumbe wa mapenzi ambao unawataka watu kuwa na mtu mmoja wanaempenda kati ya wengi walionao.
“Ni wimbo ambao unazungumzia mapenzi katika hali tofauti kidogo kwa sababu sasa hivi kila mtu anakuwa na wanawake wawili au watatu, au mwanamke anakuwa na wanaume wawili au watatu. Kwa hiyo inafika time inabidi tuwe wakweli. Kwa hiyo nimezungumzia ukweli kwamba mimi nina wanawake kama watatu lakini nawaambia wengine kwamba waachane na mimi kwa sababu kuna mmoja ambaye ninampenda.”
Amesema wimbo huo utakuwa na mahadhi ambayo hakuna msanii ambaye ameyagusa mwaka huu.
“Ni mahadhi fulani hivi kama chakacha, kama mdundiko yaani kama…sijui nisemeje. Ni ngoma fulani ambayo ukiisikia iko tofauti na beat ambazo…hujawahi kusikia toka mwaka huu uanze. Ni ngoma fulani hivi sio speed sana ila ni ngoma fulani ya kuchezeka lakini sio speed sana kama Msambinungwa.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment