Wednesday, August 13, 2014
On 2:32 AM by Unknown No comments
Teknolojia inazidi kukua na watu hawajaridhika kabisa na kile kinachoonekana duniani kuwa ni mageuzi.
Mjasiriamali wa Marekani ambaye ni mzaliwa wa Afrika Kusini,
billionaire Elon Musk ambaye amegundua teknolojia ya mwendo kazi wa hali
ya juu ‘The Hyper loop’ amekuja na wazo la kuunda treni ambayo itakuwa
na mwendo mara mbili ya mwendo kasi wa ndege za kawaida.
Mara tu treni hiyo itakapotengenezwa kwa teknolojia hiyo ya mwendo
kasi, itakuwa na uwezo wakuondoka mara tu abiria watapokuwa ndani ya
treni hiyo kwa idadi inayotakiwa bila kusubiri ratiba baalum kama ilivyo
kwa treni za umeme nchini Marekani.

Elon Musk ameeleza kuwa endapo teknolojia hiyo itakubalika na
kupitishwa chombo hicyho kitakuwa na
uwezo wa kubeba abiria kutoka Los
Angeles hadi San Francisco ndani ya nusu saa tu!! Mwendo ambao kwa
kawaida ndege hutumia zaidi ya saa moja. inaweza kutoka New York hadi
China kwa muda wa saa mbili tu.
Kwa maelezo ya Elon Musk, wengi wanamuona kama amechanganyikiwa na
pesa hivi lakini baadhi ya engineers wanaonekana kuiamini idea yake kwa
kiasi fulani hasa baada ya kuona vifaa alivyonavyo na kuelekeza jinsi
itakavyofanya kazi.
Mjasiriamali wa Marekani ambaye ni mzaliwa wa Afrika Kusini,
billionaire Elon Musk ambaye amegundua teknolojia ya mwendo kazi wa hali
ya juu ‘The Hyper loop’ amekuja na wazo la kuunda treni ambayo itakuwa
na mwendo mara mbili ya mwendo kasi wa ndege za kawaida.
Mara tu treni hiyo itakapotengenezwa kwa teknolojia hiyo ya mwendo
kasi, itakuwa na uwezo wakuondoka mara tu abiria watapokuwa ndani ya
treni hiyo kwa idadi inayotakiwa bila kusubiri ratiba baalum kama ilivyo
kwa treni za umeme nchini Marekani.
Elon Musk ameeleza kuwa endapo teknolojia hiyo itakubalika na
kupitishwa chombo hicyho kitakuwa na
uwezo wa kubeba abiria kutoka Los
Angeles hadi San Francisco ndani ya nusu saa tu!! Mwendo ambao kwa
kawaida ndege hutumia zaidi ya saa moja. inaweza kutoka New York hadi
China kwa muda wa saa mbili tu.
Kwa maelezo ya Elon Musk, wengi wanamuona kama amechanganyikiwa na
pesa hivi lakini baadhi ya engineers wanaonekana kuiamini idea yake kwa
kiasi fulani hasa baada ya kuona vifaa alivyonavyo na kuelekeza jinsi
itakavyofanya kazi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment