Wednesday, August 13, 2014
On 12:46 AM by Unknown No comments
Rapper wa Young Money, Tyga na mrembo Blac Chyna aliyekuwa stripper wamepigana chini ikiwa ni miaka mitatu tangu walipoanza safari ya penzi lao.
Kwa mujibu wa TMZ, Tyga ameachana na msichana huyo ambaye wamezaa nae mtoto wa kiume lakini bado kuna utata kuwa mrembo huyo amegoma kutoa vitu vyake katika nyumba ya Tyga.
Tyga alikosolewa sana na kutabiriwa mwisho mbaya baada ya kuamua kumchukua Blac Chyna katika club maarufu ya wasichana wanaocheza wakiwa watupu.
Wawili hao walikutana mwaka 2011 katika party ya Chris Brown na kutengeneza couple ambayo ilikuwa maarufu.

Kwa mujibu wa TMZ, Tyga ameachana na msichana huyo ambaye wamezaa nae mtoto wa kiume lakini bado kuna utata kuwa mrembo huyo amegoma kutoa vitu vyake katika nyumba ya Tyga.
Tyga alikosolewa sana na kutabiriwa mwisho mbaya baada ya kuamua kumchukua Blac Chyna katika club maarufu ya wasichana wanaocheza wakiwa watupu.
Wawili hao walikutana mwaka 2011 katika party ya Chris Brown na kutengeneza couple ambayo ilikuwa maarufu.

Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment