Thursday, September 25, 2014
On 5:44 AM by Unknown No comments
Rapper Country Boy anatarajia kufanya filamu iitwayo ‘Money, Power, Respect’ ambayo watakuwemo pia wasanii wengine kama, Young D Janjaro.
Country Boy ameshaandika script za filamu mbalimbali na anachosubiria ni kutafuta kampuni atakayofanya nayo kazi.
“Kuna project za movie ambazo tumekaa na watu wangu wa karibu kabisa, moja inaitwa Money, Power, Respect. Ni movie ambayo itakuwa inahusu maisha ya wasanii jinsi wanavyohustle, jinsi wanavyotafuta pesa, heshima yao! Kwahiyo ni Money, Power, Respect kwamba inazungumzia pesa, nguvu na heshima. Script ipo tayari ni hii ambayo itangumzia young rapper. Ila mpaka sasa hivi bado sijapata mtu wa kunisupport ili nifanikishe hili kwa sababu movie ni budget. Kwahiyo nitaigiza mimi mwenyewe na baadhi ya wasanii wenzangu wa karibu ambao nawafikiria kuwaweka pia. Young Dee pia atahusika, akina Dogo Janja, yaani Young rapper wote, akina M-Rap. Kwahiyo kama ikitokea uhakika wa kuifanya hiyo movie tutaifanya.”
Country Boy amedai kuwa alianza kuigiza kabla hata ya kufahamika kwenye muziki.
“Mimi nimeshaigizaigiza sana tangu niko mdogo lakini muziki ndo ikawa choice yangu kubwa,” amesema. “Sikubase sana kwenye filamu kwa sababu maisha yangu yamekulia kwenye maisha ya muziki. School ndo nilikuwa nimebase sana kwenye haya masuala ya kuigiza. Kwahiyo nikajiona nina uwezo mkubwa kwa sababu unajua ukiwa na kipaji cha kuimba basi hata kuigiza pia unaweza kwa sababu ukiweza kumface mtu zaidi ya mmoja ukiwa unafanya show basi unaweza hata ukaiface kamera moja. Kwahiyo ni kitu ambacho nina uwezo nacho ila tunategemea tukipata huyo mtu basi mambo yatakuwa oya oya.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
President Barack Obama commended the U.S. soccer team Wednesday for making the country proud in the World Cup tournament in Brazil.
0 comments:
Post a Comment