Wednesday, September 24, 2014
On 5:26 AM by Unknown No comments
Wasanii wenye ushindani mkubwa nchini Nigeria Davido na Wizkid, wametajwa kuwania tuzo za MOBO Awards (Music Of Black Origin) wote wakiwa kwenye kipengele kimoja cha ‘Best African Act’.
David na Wizkid wanachuana na wasanii wengine wa Nigeria katika kipengele hicho ambao ni Yemi Alade, Tiwa Savage na Dr. Sid.
Wengine wanaowania tuzo za MOBO kwenye kipengele hicho ni Mafikizolo na DJ Clock wa Afrika Kusini, Afrikan Boy wa UK mwenye asili ya Nigeria, Fuse ODG na Mista Silva Waghana waishio UK.
Hakuna msanii yeyote wa Afrika Mashariki aliyetajwa kuwania tuzo hizo za MOBO zinazotarajiwa kutolewa October 22, 2014 jijini London.
Tuzo za MOBO zilianzishwa 1996 na Kanya King na Andy Ruffell kwaajili ya kutambua wasanii wenye makabila mbalimbali kutoka mataifa mbalimbali wanaofanya muziki wa watu weusi. Tuzo hizo hutolewa kila mwaka nchini Uingereza.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...