Tuesday, September 9, 2014
On 1:43 AM by Unknown No comments
Waandaaji wa shindano la Big Brother Africa, kampuni ya M-Net na Endemol SA wametoa tamko jipya leo kufuatia kuungua kwa jumba lililotumika kuendeshea misimu iliyopita.
Katika tamko hilo, waandaaji hao wameeleza kuwa shindano hilo litafanyika kama lilivyopangwa na kwamba tayari wameshapata jumba jingine katika eneo lingine duniani.
“M-Net na Endemol SA wametumia masaa 48 kutafuta eneo nyumbani na hata katika nchi za kimataifa ambapo msimu wa 9 wa reality show maarufu Afrika utafanyika.
“Baada ya kutafuta namna zote, timu inayofuraha kutangaza kuwa show itaendelea kwa kuwa sehemu imeshapatikana kuhakikisha show inaenda hewani ndani ya mwezi ujao.” Wameeleza katika tamko lao.
Wamewashukuru mashabiki kwa ushirikiano wao wakati wa siku mbili za wasiwasi baada ya kuungua kwa jumba hilo.
Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kwamba tukio hilo lilitengenezwa na waandaaji hao kwa lengo la kuvuta umakini zaidi aka ‘kiki’ kwa lengo la kuunogesha msimu huu uliopewa jina la ‘Hot Shots’.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
0 comments:
Post a Comment