Tuesday, September 9, 2014
On 1:43 AM by Unknown No comments
Waandaaji wa shindano la Big Brother Africa, kampuni ya M-Net na Endemol SA wametoa tamko jipya leo kufuatia kuungua kwa jumba lililotumika kuendeshea misimu iliyopita.
Katika tamko hilo, waandaaji hao wameeleza kuwa shindano hilo litafanyika kama lilivyopangwa na kwamba tayari wameshapata jumba jingine katika eneo lingine duniani.
“M-Net na Endemol SA wametumia masaa 48 kutafuta eneo nyumbani na hata katika nchi za kimataifa ambapo msimu wa 9 wa reality show maarufu Afrika utafanyika.
“Baada ya kutafuta namna zote, timu inayofuraha kutangaza kuwa show itaendelea kwa kuwa sehemu imeshapatikana kuhakikisha show inaenda hewani ndani ya mwezi ujao.” Wameeleza katika tamko lao.
Wamewashukuru mashabiki kwa ushirikiano wao wakati wa siku mbili za wasiwasi baada ya kuungua kwa jumba hilo.
Hata hivyo, baadhi ya watu wanaamini kwamba tukio hilo lilitengenezwa na waandaaji hao kwa lengo la kuvuta umakini zaidi aka ‘kiki’ kwa lengo la kuunogesha msimu huu uliopewa jina la ‘Hot Shots’.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
Will Smith , who is gearing up for his new film " Focus " with Margot Robbie , opens up about his experience in 25 y...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Sio Wakati Wote Ni Wa Kazi Hata Kmaa Ni Mtu Maarufu Kuna Muda Unatakiwa Kukutana Na Watu Tofauti Na Kujipa Raha kwa Nafasi Kama Unavyomuo...
-
Channel O walitisha sana na maandalizi ya mwaka huu wa 2014 ambapo magari mbalimbali yalitumika kuwaleta mastaa mpaka kwenye stage...
-
Justin Bieber ambaye hivi sasa yuko katika kipindi cha matazamio ameripotiwa kuhatarisha maisha ya watembea kwa miguu katika eneo la Beve...
-
The Rock says his mom, Ata Maivia-Johnson and his cousin were struck HEAD ON by a drunk driver this week ... and luckily, they su...
0 comments:
Post a Comment