Tuesday, September 30, 2014
On 3:56 AM by Unknown No comments
Couple ya waimbaji Jason Derulo na Jordin Sparks ndio iliyoonekana kuwashtua zaidi wengi baada ya taarifa za kuachana kwao kusambaa, na hii inatokana na kuwa hapakuwahi kusikika hata taarifa za ugomvi baina yao.
Lakini Derulo ameweka wazi baadhi ya sababu za ndani zilizopelekea ‘mv mapenzi ‘ ya wawili hao kushindwa kuhimili mawimbi ya bahari ya mahaba, na kuamua kutia nanga kabla ya kufika safari yao waliyoianza miaka mitatu iliyopita.
Kizungumza na Ryan Seacrest, mwimbaji wa ‘Wiggle’ amesema walikuwa na mvutano wa mara kwa mara kutokana na mambo mbalimbali, moja wapo likiwa ni shinikizo la ndoa.
“What happened…in a nutshell, there was a lot of tension in the relationship for a lot of different reasons… There was a lot of pressures of marriage. There was a lot of arguing and stuff like that that just weighed on our relationship over time. When you stop having more good times than bad bad times, it’s time to call it quits. It becomes something that is unhealthy. I’m not one to throw my business out on the street, but I thought it was important because things are getting a little out of hand.”
Aliongeza kuwa tatizo hilo halikuwa upande wake peke yake bali hata kwa Sparks lakini hiyo si sababu peke yake. Pia amekiri kuwa hawakuachana kwa uzuri, lakini hawana matatizo kwasababu hawakauachana vibaya kama couple zingine.
“To be fair, it was not just from her either. It was kind of from everybody. That’s not the sole reason, but it definitely played a part. I’ll be lying if I said that we parted in good terms. But it’s not a bad situation. There’s no bad blood. We didn’t end off on a weird way or a negative way.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment