Tuesday, September 23, 2014
On 5:12 AM by Unknown No comments
Kwa mujibu wa chanzo cha gazeti la The Sun, Justin Bieber amekuwa akijigamba mbele ya marafiki zake kuhusu maisha mapya ya afya bora.
“Hanywi tena pombe na ameacha kula vyakula visivyoshauriwa kiafya pia. Alikuwa katika wakati mgumu miezi michache iliyopita na anatumaini hii itampa mwanzo mzuri.” Kimeeleza chanzo hicho.
Mwimbaji huyo ambaye amekuwa katika matatizo ya kisheria hivi karibuni, anaonekana kuyaanza maisha mapya katika uhusiano wake pia baada ya kutangaza kuwa yuko tayari kuwa baba na anataka kumuoa mpenzi wake Selena Gomez.
Kupitia Instagram, Bieber amepost picha inayooashiria hatua yake hiyo na kuandika, “To start something new you have to stop something old.What are you living for? What is your calling? Set standards and boundaries #begreat.”
“Hanywi tena pombe na ameacha kula vyakula visivyoshauriwa kiafya pia. Alikuwa katika wakati mgumu miezi michache iliyopita na anatumaini hii itampa mwanzo mzuri.” Kimeeleza chanzo hicho.
Mwimbaji huyo ambaye amekuwa katika matatizo ya kisheria hivi karibuni, anaonekana kuyaanza maisha mapya katika uhusiano wake pia baada ya kutangaza kuwa yuko tayari kuwa baba na anataka kumuoa mpenzi wake Selena Gomez.
Kupitia Instagram, Bieber amepost picha inayooashiria hatua yake hiyo na kuandika, “To start something new you have to stop something old.What are you living for? What is your calling? Set standards and boundaries #begreat.”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment