Wednesday, September 10, 2014
On 1:31 AM by Unknown No comments
Baada ya subira ya mwaka mzima, hatimaye Lil Kim ameonesha ishara ya mwendo wa kutoka rasmi kwa mixtape yake ‘Hard Core’ kwa kuachia kava ya kuitambulisha . Mixtape hiyo imechelewa sana kutoka tangu alipoitangaza July, 2013 lakini hapa katikati amekuwa na mengi yaliyomkwamisha ikiwa ni pamoja na muda wa ujauzito hadi kujifungua.
Hard Core imetoka rasmi jana. Ni mixtape yake ya kwanza tangu alipotoa Black Friday mwaka 2011.
Mwezi uliopita, Lil Kim alitoa remix ya wimbo wa Beyonce ‘Flawless’ na kumrushia makombora Nicki Minaj aliyemtaja na baadae akatoa remix ya wimbo wa Iggy Azalea ‘Fancy’.
Hard Core imetoka rasmi jana. Ni mixtape yake ya kwanza tangu alipotoa Black Friday mwaka 2011.
Mwezi uliopita, Lil Kim alitoa remix ya wimbo wa Beyonce ‘Flawless’ na kumrushia makombora Nicki Minaj aliyemtaja na baadae akatoa remix ya wimbo wa Iggy Azalea ‘Fancy’.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
It's good to be Iron Man — Robert Downey Jr. once again leads Fo...
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Arnold Schwarzenegger was born and raised in Austria. But The Expendables 3 star looked like a true American as he left Cafe Roma in Beverly...
-
Brad Pitt and Angelina Jolie will finally tie the knot, only for a movie. According to a scoop from The Hollywoo...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
ITALIA imeaga Kombe la Dunia nchini Brazil baada ya kufungwa 1-0 na Uruguay, bao pekee la Diego Godin katika mchezo ambao mshambuliaji Luis ...
-
Baada ya habari za ndege ya Malaysia airline hivi sasa ajali nyingine imetoka karibu kabisa na Tanzania ambapo ni nchini Uganda. Ndege hiy...
-
Mwaka huu Psquare hawataki mchezo na mtuu baada ya kuachia nyimbo tatu kwa mpigo ikiwemo sapraiz ya nguvu ya video yao mpya inayoitwa Ej...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
0 comments:
Post a Comment