Thursday, September 25, 2014
On 4:43 AM by Unknown No comments
Mwimbaji wa Serebuka, Mwasiti ni mmoja kati ya wasanii wa kike ambao hawaonekani sana kwenye shows za uwanjani lakini mwenyewe anasema kuna shows zake zinazomuingizia pesa nyingi zaidi.
“Nafikiri watu wengi hawanionagi kwenye shows za uwanjani sana lakini kuna shows zangu ambazo nikipiga mpunga napiga pesa ya maana sana (anacheka).” Mwasiti ameiambia tovuti ya Times Fm.
“Kuna vijana wanapenda sana Zouk Rhumba huwezi amini. Na kuna wa umri fulani sasa wale wa miaka 35 kwenda juu wanapenda sana Zouk Rhumba, kwa hiyo wale huwa wana corporate shows, viongozi na nini.
“Kwa hiyo mara nyingi nafanya hizo sana kuliko zile za uwanjani ambazo wengi wanategemea kuniona, za vijana zaidi. Kibiashara iko vizuri as long as unatoa kazi ambayo wataielewa.” Ameongeza.
Mwasiti anatarajia kuachia nyimbo mbili hivi karibuni. ‘Leo’ aliomshirikisha Godzilla na ‘Kisigino’.
“Nafikiri watu wengi hawanionagi kwenye shows za uwanjani sana lakini kuna shows zangu ambazo nikipiga mpunga napiga pesa ya maana sana (anacheka).” Mwasiti ameiambia tovuti ya Times Fm.
“Kuna vijana wanapenda sana Zouk Rhumba huwezi amini. Na kuna wa umri fulani sasa wale wa miaka 35 kwenda juu wanapenda sana Zouk Rhumba, kwa hiyo wale huwa wana corporate shows, viongozi na nini.
“Kwa hiyo mara nyingi nafanya hizo sana kuliko zile za uwanjani ambazo wengi wanategemea kuniona, za vijana zaidi. Kibiashara iko vizuri as long as unatoa kazi ambayo wataielewa.” Ameongeza.
Mwasiti anatarajia kuachia nyimbo mbili hivi karibuni. ‘Leo’ aliomshirikisha Godzilla na ‘Kisigino’.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Mansoor himid,aliyewahi kuwa mwakilishi na wakati flani waziri asiyekua na wizara maalum na pia ni shemeji wa rais karume, Akutwa na silaha...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
5:55 PM PT -- Meek just posted his first pic after prison -- chilling in a living room and cracking jokes about a friend's broken foot...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kiatu cha Nike Hypervenom cha mwaka 2014 kinavaliwa na wachezaji kama Welbeck, Neymar na Rooney kwenye kombe la dunia la 2014. Kiatu hichi c...
-
Mark Wahlberg 's massive home in Beverly Park, CA is finally complete ... 30,000 square feet strong ... and it's t...
-
Amber Rose was a guest on the Breakfast Club last week , and she threw some shade towards Tyga and Kylie Jenner, alluding that the two wer...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
0 comments:
Post a Comment