Thursday, September 25, 2014
On 4:43 AM by Unknown No comments
Mwimbaji wa Serebuka, Mwasiti ni mmoja kati ya wasanii wa kike ambao hawaonekani sana kwenye shows za uwanjani lakini mwenyewe anasema kuna shows zake zinazomuingizia pesa nyingi zaidi.
“Nafikiri watu wengi hawanionagi kwenye shows za uwanjani sana lakini kuna shows zangu ambazo nikipiga mpunga napiga pesa ya maana sana (anacheka).” Mwasiti ameiambia tovuti ya Times Fm.
“Kuna vijana wanapenda sana Zouk Rhumba huwezi amini. Na kuna wa umri fulani sasa wale wa miaka 35 kwenda juu wanapenda sana Zouk Rhumba, kwa hiyo wale huwa wana corporate shows, viongozi na nini.
“Kwa hiyo mara nyingi nafanya hizo sana kuliko zile za uwanjani ambazo wengi wanategemea kuniona, za vijana zaidi. Kibiashara iko vizuri as long as unatoa kazi ambayo wataielewa.” Ameongeza.
Mwasiti anatarajia kuachia nyimbo mbili hivi karibuni. ‘Leo’ aliomshirikisha Godzilla na ‘Kisigino’.
“Nafikiri watu wengi hawanionagi kwenye shows za uwanjani sana lakini kuna shows zangu ambazo nikipiga mpunga napiga pesa ya maana sana (anacheka).” Mwasiti ameiambia tovuti ya Times Fm.
“Kuna vijana wanapenda sana Zouk Rhumba huwezi amini. Na kuna wa umri fulani sasa wale wa miaka 35 kwenda juu wanapenda sana Zouk Rhumba, kwa hiyo wale huwa wana corporate shows, viongozi na nini.
“Kwa hiyo mara nyingi nafanya hizo sana kuliko zile za uwanjani ambazo wengi wanategemea kuniona, za vijana zaidi. Kibiashara iko vizuri as long as unatoa kazi ambayo wataielewa.” Ameongeza.
Mwasiti anatarajia kuachia nyimbo mbili hivi karibuni. ‘Leo’ aliomshirikisha Godzilla na ‘Kisigino’.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Slider
MusicView All
TechnologyView All
PicturesView All
GamesView All
Labels
Category
Ads
Text
Find Us On Facebook
Link List
Contact Form
Blogroll
Flickr Images
728x90 AdSpace
Label
FashionView All
Latest News
Popular Posts
-
Tumezoea kusikia wakati wa kufunga ndoa watu wakila kiapo kuwa watapendana hadi kifo kitakapowakuta, kia...
-
Nicki Minaj didn't seem to have big problems with hilarious memes appearing on the internet following the release of her...
-
Miley Cyrus updated her Instagram with lots of photoshopped pictures. This time, Justin Bieber 's Calvin Kl...
-
Mr Blue aka Kabayser ameanzisha taasisi ya ‘Micharazo Foundation’ itakayoanza kupokea wasanii wapya na pia itakuwa sehemu ya kukuza vipaj...
-
Kikosi Kazi cha Polisi cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini kimemhoji kwa zaidi ya saa 10, msanii Agnes Gerald ‘Masogange’ kuhusiana na tuhum...
-
Lil Wayne ni msanii wa Hiphop lakini aliwahi kujaribu kutoa album ya rock ambayo inaitwa Rebirth yenye hit singles kama Knock Out na Porm ...
-
Mara nyingi birthday party za washkaji huwa zinasindikizwa na umwagiwaji wa maji kwa mhusika,sasa unaambiwa hii ya Shetta imekua kibok...
-
Yemen imesema wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapi...
-
Brad Pitt has owned a gun since he was very young. In a new interview with Radio Times to promote his new flick " Fury ", the a...
-
President Barack Obama commended the U.S. soccer team Wednesday for making the country proud in the World Cup tournament in Brazil.
0 comments:
Post a Comment